pinterest
qr
book cover

NYIMBO ZA WOKOVU

by Mubalama Francois
20 pages    12400 reads    0 people's favorite    5 likes
fav Add as a Favorite     like Like it
 
8.5"x11" - Hardcover w/Glossy Laminate - Premium Photo Book
Price: $26.99    Gold Member Price: $24.29
Add to Cart      Preview Book
Share Book    

About the Book

Musifu Bwana; maana ni vema kuimbia Mungu wetu sifa; maana inapendeza, kusifu ni vizuri. Zaburi 147: 1.

….Tazama, kutii ni vizuri kuliko zabihu na kusikiliza vizuri kuliko mafuta ya ngombe. 1 Samweli 15:22

Na salama ya Kristo zitawale mioyoni mwenu, kwa sababu yake muliitwa katika mwili mmoja tena muwe watu wa kushukuru. Wakolosayi 3: 15

Kwa sababu Bwana Mwenyewe atashuka toka mbinguni na sauti kubwa, na sauti ya malaika mukubwa, na pamoja na baragumu ya Mungu: nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. 1 Watesalonika 4:16

Nanyi mtanitafuta, na kuniona wakati mutakaponitafuta kwa moyo wenu wote… Yeremia 29:13

Kwa sababu macho ya Bwana Mungu yanatembea-tembea katika dunia kusudi kujionesha kuwa Mwenye nguvu kwa ajili ya hawa, walio na moyo mukamilifu kwake. 2 Mambo ya siku 16:9

Features & Details
Created on: Mar-20-2014   Published on: Mar-20-2014
Format: 8.5"x11" - Hardcover w/Glossy Laminate - Premium Photo Book
Theme: Celebration    Sales Term:  Everyone
Preview Limit: 20 Pages
Tags:
NENO   
 
About Author
author icon Mubalama Francois
Joined: Mar-19-2014

KUHUSU MWANDISHI

Mtume na Missionnary Apostle MUBALAMA Francois NYAMULENGWA wa TAMBWE KITENGE Urlos wa Mwalimu ABDALAH TSHIMANGA wa KADIMA MULAYA wa Mungu ( Luka 3: 38) ni mme wa Mama Francoise KENGA MUZELEA na ni baba wa watoto wengi mwilini humo na katika Roho pia ni muzaliwa katika utumishi huu tangu mwaka 1985 pa KINDU, Maniema (Congo Democratic Republic ) na kupokeya mamlaka na utumishi ya Utume, Missionnary, Apostle na Muchungaji mukubwa tokeya mwaka wa 1990 katika Kanisa la Yesu Kristo, Station/Paroise za KINDU, SHABUNDA, MWENGA, KAMITUGA, BUKAVU, BUTEMBO, OICHA, KIGALI, NAIROBI kabla yay eye kukuja hapo Amerika kwa ajili ya utukufu wa Mungu wetu.

Akawa afisa mtendaji mkuu wa kianda RENAPI (MANIEMA : KINDU, KIBOMBO, SAMBA, KASONGO, KALIMA na SHABUNDA ), Mwalimu mukubwa wa hesabu Maniema ,kusini na kaskazini ya Kivu, nwespaperman na taarifa kesi sharia pa BUTEMBO.Yeye pia walianza kuandika hadithi fupi ajili ya kanisa lake mwenyewe alipokuwa..

Messages from the author:





book_profile