Bookemon Book

HITIMU NA "A" - Zijue mbinu za kuwa wa kwanza darasani

60 pages
5.5"x8.5" - Choice of Hardcover/Softcover - B&W Book

About the Book

Kitabu hiki kina lengo la kukuongoza kivitendo kuliko kinadharia katika kuelekea mafanikio ya kitaaluma.Utakutana na mbinu,mifano na visa vitakavyokupa picha halisi ya mwanafunzi.Ungana name uongeze maarifa.

Features & Details

  • CreatedOct-01-2016
  • Last updatedOct-01-2016
  • Format5.5"x8.5" - Choice of Hardcover/Softcover - B&W Book
  • ThemeOpen Theme
  • PrivacyEveryone
  • Preview Limit60 pages

About Author

Author photo for Magambothekaka
Buliba Magambo.Ni mwandishi wa riwaya pamoja na vitabu vya uhamasishaji.Pia ni muhamasishaji kwa kupitia mazungumzo{motivational speaker} katika semina na makongamano mbalimbali.Alimaliza elimu yake ya kidato cha sita katika shule ya sekondari Benjamin.W.Mkapa mwaka 2014/2016 na kujiunga katika chuo kikuu cha Dar es salaam,akichukua shahada ya mass communication.

Messages from the Author

No author messages are available for this book.

Reader's Comments

Log in or create an account to add a comment.
book_profile