Bookemon Book
HITIMU NA "A" - Zijue mbinu za kuwa wa kwanza darasani
60 pages
5.5"x8.5" - Choice of Hardcover/Softcover - B&W Book
About the Book
Kitabu hiki kina lengo la kukuongoza kivitendo kuliko kinadharia katika kuelekea mafanikio ya kitaaluma.Utakutana na mbinu,mifano na visa vitakavyokupa picha halisi ya mwanafunzi.Ungana name uongeze maarifa.
Features & Details
- CreatedOct-01-2016
- Last updatedOct-01-2016
- Format5.5"x8.5" - Choice of Hardcover/Softcover - B&W Book
- ThemeOpen Theme
- PrivacyEveryone
- Preview Limit60 pages
About Author
Buliba Magambo.Ni mwandishi wa riwaya pamoja na vitabu vya uhamasishaji.Pia ni muhamasishaji kwa kupitia mazungumzo{motivational speaker} katika semina na makongamano mbalimbali.Alimaliza elimu yake ya kidato cha sita katika shule ya sekondari Benjamin.W.Mkapa mwaka 2014/2016 na kujiunga katika chuo kikuu cha Dar es salaam,akichukua shahada ya mass communication.
Messages from the Author
No author messages are available for this book.


Reader's Comments
Log in or create an account to add a comment.