wapenzi wasomaji karibuni katika safu ya kitabu hiki kilichoandikwa kuelezea maisha ya kweli yaliyomkuta mwandishi katika suala zima la mapenzi ni katika PENZI LANGU LANIKONDESHA nini kilitokea fuatilia mkasa mzima
![]() |
ndongosi Joined: Nov-30-2010 |
jina langu halisi ni gerald mwingira,nimezaliwa tanzania dar-es salaam mhimbili hospital,nikasoma shule ya msingi chemchemi,sekondari ya kantalamba,nikajiunga na chuo cha ualimu tukuyu, napenda sana mawasiliano na watu wa rika mbalimbali